1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

21.10.2021 Matangazo ya Jioni

SK2 / S02S21 Oktoba 2021

Mawaziri wa ulinzi wa nchi wanachama wa jumuiya ya kujihami ya NATO wanatarajiwa kukubaliana baadaye leo+++Waziri Mkuu wa Libya Abdulhamid Dbeibah ameunga mkono wazo la kuandaliwa kwa uchaguzi wa kitaifa mnamo Disemba 24+++Mtu mmoja amekufa na wengine wasiopungua 80 wamejeruhiwa katika maandamano ya kuunga mkono demokrasia.

https://p.dw.com/p/41zxu