Spika wa Bunge la Uingereza ameamuru kuwa serikali ya waziri mkuu Johnson haiwezi kuwataka wabunge kupigia kura tena makubaliano ya Brexit/ Serikali ya Lebanon yapitisha mpango wa mageuzi kutuliza maandamano/ Kinshasa: Maandamano ya kupinga rushwa na kutaka vyombo vya kisheria kufanya kazi kama kawaida/ Serikali ya Tanzania na Kampuni ya kuchimba madini ya Barrick zimetangaza kufikia makubaliano