Putin asaini amri ya kuongeza wanajeshi vitani/ Maandamano nchini Iran/ DRC yakabidhi umiliki wa misitu kwa jamii za wana vijiji/ Tanzania, Msumbiji zakubaliana kulinda mipaka/ WHO limesema magonjwa yasioambukiza kama ugonjwa wa moyo, saratani na kisukari, yanachangia asilimia 74 ya vifo duniani