1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

21.09.2021 Matangazo ya Mchana

TSA / S08S21 Septemba 2021

Viongozi kutoka Mataifa zaidi ya 100 wamewasili mjini New York kushiriki katika vikao vya Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa/ Katika kuelekea uchaguzi nchini Ujerumani, vyumba vya kupiga gumzo vya Waturuki wa Ujerumani, majukwaa ya Intaneti na mitandao ya kijamii yanaeneza ushauri kuhusu namna ya kupiga kura/ Serikali ya Rwanda imeanza kuwahamisha zaidi ya wakimbizi elfu tisa wa Congo

https://p.dw.com/p/40bH5