Tundu Lissu ataka polisi ya Tanzania iimpe ulinzi/ Magwiji wabwagwa kura ya maoni ya CCM Zanzibar/ Al-Bashir afikishwa mahakamani/ China imesema itachukuwa hatua zinazohitajika baada ya serikali ya Marekani kuziwekea vikwazo vya kibiashara kampuni 11/ Kenya: Jamii asili ya Ogiek imewasilisha malalamiko kwa Tume ya Umoja wa Afrika kuhusu sintofahamu inayogubika zoezi la kuwaondosha watu msituni