1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

21.05.2020 Matangazo ya Mchana

SK2 / S02S21 Mei 2020

Shughuli ya kuhesabu kura bado inaendelea nchini Burundi siku moja baada ya kufanyika uchaguzi// Tanzania- Magufuli aruhusu vyuo, michezo kuanza tena// Maambukizi ya virusi vya corona duniani yapindukia milioni 5// Kimbunga Kikali kimeikumba India na Bangladesh, na kusababisha madhara makubwa hii leo Alkhamisi. Taarifa zinaelezea kwamba watu wasiopungua 22 wamefariki.

https://p.dw.com/p/3caQP