Mpinzani mkuu katika kinyang’anyiro cha urais nchini Burundi, Agaton Rwasa amelalamikia kufanyika udangayifu mkubwa ikiwa ni siku moja baada ya zoezi la kupiga kura// Zitto Kabwe akosoa mkakati wa rais Mafuguli kuhusu corona/DR Congo- Wapiganaji wa Mai-Mai wapatao mia moja wameamua kuweka chini silaha na kujisalimisha kwa serikali mbele ya tume ya umoja wa mataifa Monusco.