1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

21.05.2018 Matangazo ya Mchana

SK2 / S02S21 Mei 2018

Waasi wa Uganda, ADF, wanaripotiwa kufanya mashambulizi makali kaskazini mwa mji wa Beni, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo// amhuri ya Kidemokrasia ya Congo inajiandaa kuzindua mpango wa chanjo ya kwanza leo Jumatatu, katika jitihada za kukabiliana na mripuko wa hivi karibuni wa ugonjwa hatari wa Ebola//Rais wa Venezuela Nicolas Maduro ametangazwa mshindi katika uchaguzi wa rais uliofanyika jana.

https://p.dw.com/p/2y48b