Biden: Haki imepatikana, lakini haitoshi/ Viongozi duniani waomboleza kifo cha Rais Deby wa Chad/ Tanzania yafungua akaunti za watetezi wa Haki za Binadamu/ Kenya: Sakata la tuhuma za baadhi ya askari kusaidia kwa kutoa silaha na sare kwa magenge ya uhalifu/ European Super League yatibuka