1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

21.02.2022 Matangazo ya Jioni

SK2 / S02S21 Februari 2022

Ikulu ya Urusi imesema kwamba hakuna mipango kamili ya kufanyika mkutano wa kilele juu ya Ukraine kati ya Putin na Biden/ Mawaziri wa mambo ya nje wa EU wakataa kuiwekea vikwazo Urusi/ Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu nchini Tanzania kimetoa ripoti ya mfano ya utafiti wake kuhusu matukio ya ukatili wa kijinsia wilaya ya Kinondoni/ Qatar: Mkutano wa kilele kuhusu gesi

https://p.dw.com/p/47NMD