1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

21.01.2021 Taarifa ya Habari Asubuhi

21 Januari 2021

Joe Biden aapishwa kuwa rais wa 46 wa Marekani na kutangaza kuwa demokrasia imeshinda // Viongozi wa Umoja wa Ulaya kukutana leo kuzijadili changamoto zinazoongezeka za janga la corona // Na ujumbe wa kulinda amani wa Umoja wa Mataifa waonya kuwa waasi wa Jamhuri ya Afrika ya Kati wanajaribu kuuzingira mji mkuu Bangui

https://p.dw.com/p/3oDUw