Rais Biden ameyasaini maagizo ya kiutendaji yanayopinduwa yaliyokuwa yamewekwa na mtangulizi wake Donald Trump/ Kwa kutizama hatua ambazo ameanza kuzichukua na sera yake ya kigeni, afrika itegemee nini katika utawala mpya wa Marekani?// Mahakama kuu nchini Uganda itatoa maamuzi siku ya Jumatatu kama aliyekuwa mgombea urais Robert Kyagulanyi ana uhuru wa kutoka katika kizuizi cha nyumbani.