Nchini Marekani Joe Biden aliapishwa jana kuwa rais wa 46 pamoja na makamu wake wa rais Kamala Harris// Joe Biden ameshinda uchaguzi wa rais kwa sababu anaonekana kujali, wanasema wachambuzi// Kamala Harris ndiye makamu wa rais mpya wa Marekani. Yeye ndiye mwanamke wa kwanza kushika wadhifa huo, wa kwanza mwenye asili ya Afrika, wa kwanza mwenye asili ya India.