Siku kuu ya Maulidi: Nchini Tanzania, Katibu mkuu wa Jumuiya na taasisi za Kiislamu ametoa waraka maalumu/ Tanzania: Benki kuu imetanganza kusitisha zoezi la utoaji wa leseni za kuendesha maduka ya kubadilisha fedha za kigeni na kufuta leseni za maduka hayo ambayo yanaendeshwa kinyume na sheria mkoani Arusha / Siku ya kimataifa ya haki za mtoto/Kenya: Mswada wa usawa wa jinsia umejadiliwa bungeni