Seneta Matata Ponyo adai kupewa sumu nchini Congo/ Mahojiano kuhusu uchaguzi mdogo wa ubunge wa jimbo la Konde visiwani Zanzibar/ Biden afanya mkutano na mfalme Abdullah wa Jordan/ Haiti: Waziri mkuu akubali kukaa pembeni kumpisha Ariel Henry/ Waislamu nchini Kenya na Uganda wanaadhimisha sikukuu ya Eid Ul Adha