Kansela Angela Merkel wa Ujerumani amesema kuwa hana uhakika ikiwa Ulaya itaweza haraka kuwa na uwezo wa kuzikabili changamoto za kutakiwa kubeba jukumu la kutatua migogoro ya dunia ya karne ya 21, katika wakati ambapo utawala wa Trump nchini Marekani unaonekana kujitenga kando na wajibu huo