1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

20.07.2017 Matangazo ya jioni

SK2 / S02S20 Julai 2017

Muungano mkuu wa upinzani nchini Kenya-NASA, umepata pigo kwenye safari yake ya kuelekea ikulu// Ujumbe wa Umoja wa Afrika umekutana na rais Uhuru Kenyatta wa kenya zikiwa zimesalia siku 18 kabla uchaguzi mkuu kufanyika// Tume ya taifa ya uchaguzi nchini Rwanda imetangaza orodha rasmi ya wapiga kura milioni 6.8 watakaopiga kura kwenye uchaguzi wa Rais utakaofanyika nchini humo mwezi ujao wa nane.

https://p.dw.com/p/2gtzE