Tanzania: Wataalamu wa masuala ya uchumi wametaja usimamizi mbovu pamoja na usiri kuwa miongoni mwa sababu ambazo zimezorotesha mradi wa mabasi ya mwendo kasi/ Mtwara: Mzozo wa madereva wa malori/ Kundi la waasi wa maimai limeishambulia kambi ya jeshi mjini Butembo, DRC/ CDU yamchagua Laschet kuwa mgombea wa ukansela/ Rais wa China ataka usawa katika usimamizi wa dunia