Hali ya kisiasa nchini Zimbabwe/ Ujerumani: Upungufu wa vifaa vya kijeshi katika jeshi la shirikisho-Bundeswehr/ Ongezeko la watoto wanaotumika kingono mtandaoni/ Wahamiaji wa kigeni nchini Lebanon wanaotokea Ethiopia, wanaishi bila uhuru kutokana na mfumo wa ajira wa Kafala unaowakandamiza/ Serikali ya Marekani inafadhili mradi wam kuwahamasisha vijana kushiriki katika masuala ya kilimo