Tunatumia 'cookies' ili kuboresha huduma zetu kwako. Maelezo zaidi yanaweza kupatikana katika sera yetu ya faragha.
Senegal wamefanikiwa kutinga fainali ya michuano ya kombe la mataifa ya Afrika kwa mara ya pili mfululizo, baada ya kuitandika Burkina Faso bao 3-1
Maelfu ya Wasenegal walikusanyika Jumanne jioni kwa uzinduzi wa uwanja wa michezo wenye uwezo wa kuwa na mashabiki 50,000. Uwanja huo unalenga kuifanya Senegal kutumika kama mwenyeji wa hafla za kimataifa.
Kuanzia tarehe 9 mwezi huu macho yote yataelekezwa nchini Cameroon, kwa mashindano maarufu ya kandanda barani Afrika. Michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika – AFCON inang’oa nanga nchini humo licha ya janga la corona
Watu wanane wamefariki dunia siku ya Jumatatu, katika tukio la mkanyagano nje ya uwanja ambako Cameroon ilikuwa inacheza dhidi ya Comoro, katika mechi ya kufuzu robo fainali ambayo Cameroon imeshinda kwa magoli 2-1.