Trump aondokaa rasmi ikulu kwa mara ya mwisho kama rais/ Wachambuzi: Marekani iko katika hali ya mgogoro kiuchumi na hata kitamaduni. Joe Biden ameshinda uchaguzi wa rais kwa sababu anaonekana kujali/ Tanzania: Wanasiasa wa upinzani wameikaribisha hatua ya Marekani ya kuwaweka vikwazovya visa/ Uganda: Idadi ndogo sana ya wapiga kura imejitokeza kuwachagua viongozi wa serikali za mitaa