1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

20.01.2020 Matangazo ya Jioni

SK2 / S02S20 Januari 2020

Waziri Mkuu wa Uingereza amekutana na viongozi wa mataifa 16 ya Afrika/ Mawaziri wa mambo ya kigeni EU wajadili kuhusu amani Libya/ Ripoti ya Oxfam: Wanawake hufanya kazi bure wakati mabilionea wakiongeza utajiri/ Binti ya rais wa zamani wa Angola anatuhumiwa na shirika la ICIJ, "kuhamishia nchi za nje mamilioni kwa mamilioni ya fedha za umma"

https://p.dw.com/p/3WUiP