Janga la virusi vya corona linaendelea kuwa changamoto kuu kwa mataifa mbalimbali ulimwenguni+++Waziri wa mambo ya nje wa Marekani Antony Blinken asema rais Joe Biden ataandaa mkutano wa kilele na viongozi wa Afrika+++Ujerumani yaweka masharti mapya kudhibiti COVID-19+++Waziri Mkuu wa India Narendra Modi amesema leo Ijumaa kwamba, serikali yake itaondoa sheria tata za kilimo.