Mwanasheria mkuu wa zamani nchini Kenya Amos Wako, mkewe na mtoto wake wamepigwa marufuku kuingia Marekani kutokana na tuhuma za rushwa zinazomkabili> Mahojiano/ EU: Msimamo kuhusu makaazi ya walowezi hautobadilika/ Vikosi vya usalama vya Lebanon vimepambana na waandamanaji / Familia za wapinzani zalengwa Misri/ Waandamanaji wanaoipinga serikali wamekwama katika chuo kikuu kimoja mjini Hong Kong