Rais mpya wa Iran mwenye msimamo mkali, Ebrahim Raisi, amegeukia ndani ya nchi yake akipiga kampeni ya kumjengea uungwaji mkono kutoka majimboni/ Kamishna wa masuala ya kazi wa Umoja wa Ulaya ameonya juu ya kuongezeka kwa kile kinachoitwa umaskini wa afuta barani Ulaya msimu huu wa baridi / Tanzania: Wasomi wengi hawana sifa na vigezo vinavyowawezesha kufanya vyema katika sekta ya ajira