1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

19.10.2016 Matangazo ya mchana

SK2 / S02S19 Oktoba 2016

Rais wa Urusi Vladmir Putin atakabiliana na shinikizo la mataifa ya Magahribi kuhusiana na migogoro ya Ukraine na Syria, katika mazungumzo yanayoandaliwa hii leo mjini Berlin// Jiji la Kinshasa limeamka katika hali ya ubaridi kufuatia mgomo ulioitishwa na vyama vikuu vya upinzani// Taarifa kutoka Ethiopia zinasema watu wapatao 1,000 wametiwa nguvuni na vyombo vya dola mwezi huu.

https://p.dw.com/p/2RQBF