Mkuu wa idara ya ujasusi wa ndani Ujerumani Hans-Georg Maassen ameondolewa kwenye wadhifa wake // Korea Kusini na Kaskazini zimeahidi kuendeleza juhudi za kuondoa kabisa silaha za nyuklia Rasi ya Korea // Na Mahakama ya ICCimeanzisha uchunguzi kuhusu kufukuzwa Waislamu wa Rohingya