1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

19.09.2018 Matangazo ya Mchana

SK2 / S02S19 Septemba 2018

Korea kaskazini imesema leo kwamba itaifunga mitambo yake muhimu ya makambora mbele ya uangalizi wa wataalamu wa kimataifa, ikiwa ni ishara ya hivi karibuni ya kiongozi wake Kim Jong Un ya kuyfufua mazungumzo yake na Marekani juu ya mpango wake wa nyuklia.

https://p.dw.com/p/35B0W