1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

19.09.2018 Matangazo ya Jioni

SK2 / S02S19 Septemba 2018

Chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania Chadema kimetangaza kususia chaguzi zote za marudio za ubunge na madiwani zitakazofanyika kuanzia sasa kama hatua ya kupinga mwenendo wa uchaguzi wa mwishoni mwa wiki, kikisema ulitawaliwa na mizengwe ya wazi kwa lengo la kukipa ushindi chama tawala CCM.

https://p.dw.com/p/35BnD