1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

19.09.2018 Matangazo ya Asubuhi

TSA / S08S19 Septemba 2018

Kwa kuongeza ushuru zaidi kwa bidhaa zenye thamani ya dola bilioni 200 kutoka China, rais wa Marekani Donald Trump amezidisha vita na swali la nini kitakachojiri baadaye kati ya mataifa hayo mawili yenye uchumi mkubwa duniani//Wizara ya Ushirikiano wa Kiuchumi na Maendeleo ya Ujerumani imefanya kikao cha siku moja nchini Tanzania.

https://p.dw.com/p/357vY