1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

19.08.2021 Matangazo ya Mchana

SK2 / S02S19 Agosti 2021

Idadi kubwa ya Wamarekani wameonyesha mashaka juu ya iwapo vita vya nchini Afghanistan vilikuwa na umuhimu wowote+++WHO yazikosoa nchi tajiri kutoa chanjo ya tatu ya COVID-19+++Wakaazi wa mji wa Goma mashariki mwa Congo wakumbwa na wasiwasi kufuatia ongezeko la vifo kutokana na ugonjwa wa Covid-19, huku kukiwa na uhaba wa chanjo.

https://p.dw.com/p/3zBm6