1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

19.07.2021 Matangazo ya Mchana

SK2 / S02S19 Julai 2021

Ujerumani yatakiwa kujiandaa zaidi dhidi ya majanga/ Waislamu takriban elfu 60 wametekeleza ibada muhimu ya kusimama kwenye mlima wa Arafah hii leo chini ya vizuizi vya kuthibiti kuenea kwa virusi vya corona/ Kampuni ya teknolojia ya ujasusi ya Israel yadaiwa kuwadukua miongoni mwa wengine waandishi habari duniani/ Mazungumzo ya Afghanistan yakamalika Doha bila ufumbuzi

https://p.dw.com/p/3wgi5