Tanzania: Wawekezaji wa Jamhuri ya Watu wa China na changamoto ya ulipaji wa kodi/ Kenya: Vyombo vya habari vina dhima kubwa ya kutumia nafasi yake kukuza demokrasia na amani katika mchakato wa kuelekea kwenye uchaguzi/ Vijana wa Cameroon kuunda kundi la wajisiriamali linalolenga kuwasaidia wakimbizi/ Ujerumani inakabiliwa na ukosefu wa wafanyakazi wa huduma za matibabu