1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

19.06.2018 Matangazo ya Jioni

SK2 / S02S19 Juni 2018

Merkel amemkaribisha Macron kwenye mazungumzo yanayolenga kuimarisha mageuzi yanayoweza kuzuia kusambaratika kwa Umoja wa Ulaya/ Maafisa wa jeshi la Yemen wamesema mapigano makali yameshuhudiwa nje ya uwanja wa ndege wa mji muhimu wa Hodeida/ Bunge la watoto wa shule za msingi limefanyika Dar es Salaam/ Kombe la Dunia 2018

https://p.dw.com/p/2zs6k