Miito inazidi kutolewa juu ya kuumaliza mzozo kati ya Israel na Gaza/ Rais wa Tanzania amekuwa na kikao cha ndani na wakuu wa mikoa wapya aliowaapisha/ Kampeni ya utoaji chanjo inakabiliwa na upinzani barani Afrika. Kwanini hali iko hivyo na nini kinaweza kufanywa kubadili mitazamo?/ Malawi yateketeza chanjo zilizoisha za AstraZeneca/ Tanzania: Tatizo la mfumo wa ununuzi wa umeme kielektronik