Maafisa nchini Misri wamesema kuwa ndege ya taifa hilo iliyokuwa ikisafiri kutoka Paris Ufaransa kuelekea Cairo imetoweka na huenda imeanguka katika bahari ya Mediterrania// Hofu imetanda katika eneo la Ngorongoro kaskazini mwa Tanzania baada ya kuzuka wasiwasi kuwa wananchi wa kabila la Wamaasai waishio katika eneo hilo kuhamishwa na serikali.