Tanzania/ Samia: "Naendeleza kazi ya mtangulizi wangu"/ Zaidi ya Wakenya milioni 1.4 wanakabiliwa na baa la njaa na wanahitaji msaada wa dharura/ Annalena Baerbock mgombea ukansela wa chama cha Kijani/ Urusi kumwamishia Navalny hospitali baada ya kushinikizwa/ Marekani yapiga hatua katika uchomaji chanjo ya corona