1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

19.04.2021 Matangazo ya Jioni

SK2 / S02S19 Aprili 2021

Kufuatia matamshi ya rais mpya wa Tanzania, akisisitiza kuwa serikali yake inaenzi na kuendeleza kazi zilizofanywa na Magufuli, tumezungumza na mchambuzi wa siasa/ Rwanda yailaumu Ufaransa kushindwa kuzuia mauaji ya Kimbari/ Iran: Inakaribisha mara zote mazungumzo na Saudi Arabia/ Kongo: Zoezi la utoaji wa chanjo dhidi ya virusi vya corona limeanzishwa rasmi

https://p.dw.com/p/3sEvn