1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

19.02.2021 Matangazo ya Asubuhi

TSA / S08S19 Februari 2021

Rais wa Marekani Joe Biden leo atahudhuria kwa njia ya video mkutano wa kimataifa wa kila mwaka kuhusu masuala ya usalama mjini Munich Ujerumani// Kizazi kipya cha waandamanaji wanaodai demokrasia nchini Myanmar ni cha watu wa aina tofauti// Mafanikio ya Uganda katika kupambana na ugonjwa wa COVID 19 yamehusisha wanasayansi na matabibu wengi wanawake.

https://p.dw.com/p/3paCi