Janga la nzige wa jangwani linaendelea kuyatafuna majimbo mbalimbali nchini Kenya/ Afghanistan: Matokeo ya uchaguzi yazusha mzozo mpya/ Serikali ya Libya inayotambuliwa na Umoja wa Mataifa imetangaza kuahirisha kushiriki katika mazungumzo ya amani ya Geneva / Mwanasheria Mkuu wa Marekani William Barr anafikiria kujiuzulu/ Kila mtoto yumo katika kitisho cha athari za kimazingira