Marekani yaipa Ukraine Dola milioni 200 kuimarisha ulinzi wake/ Polisi Congo yawatia mbaroni washukiwa wa mauaji ya balozi wa Italia/ Somalia: Vikosi vya usalama vimeanzisha operesheni maalum kuzima mashambulio ya wanamgambo/ Serikali ya jimbo la Marsabit imeanza kusambaza chakula cha msaada kwa waathiriwa wa baa la njaa/ Wananchi wa Rwanda wadai kulazimishwa chanjo ya COVID-19