Mkosoaji wa serikali ya Urusi Alexei Navalny aitisha maandamano baada ya kufungwa jela // Ujerumani na Uturuki zaashiria mwanzo mpya katika mahusiano kati ya Uturuki na Umoja wa Ulaya // Na Kiongozi mkuu wa upinzani Uganda Bobi Wine asema wanajeshi wamevamia makao makuu ya chama