Kundi la wanamgambo wa Kikurdi la Syria YPG, limesema vikosi vya Uturuki vimerusha makombora// Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron na Kansela wa Ujerumani Angela Merkel watakutana leo Ijumaa mjini Paris// Vyama vingi katika bunge la Ujerumani vinataka kuanzishwe nafasi ya kamishna wa kupambana na chuki dhidi ya Wayahudi.