Gavana wa kaunti ya Nairobi Mike Mbuvi Sonko jana alikabiliwa na kura ya kumfuta kazi katika seneti. Gavana huyo anatuhumiwa kwa matumizi mabaya ya madaraka, ubadhirifu, kukiuka katiba na ukatili// Morocco inakusudia kuonesha kwamba Uyahudi ni sehemu ya utambulisho wake wa kitaifa// Mkuu wa Majeshi wa Marekani Jenerali Mark A. Milley amefanya mazungumzo ambayo hayakutangazwa na wajumbe wa Taliban.