Congo: Majeshi ya Rwanda yamevuka mpaka na kuingia katika nchi hiyo kufanya uvamizi wa vijiji kadhaa katika wilaya ya Nyiragongo/
Hali ya Kiutu yazidi kuwa mbaya nchini Yemen/ Wafanyabiashara wadogo kuondolewa mitaani jijini Dar es Salaam/ Ushauri wa rais Evariste Ndayishimiye kwa Kanisa Katoliki/ Wafuasi wa jeshi Sudan waandamana tena