1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

18.10.2016 Matangazo ya jioni

SK2 / S02S18 Oktoba 2016

Silaha huko Yemen zitawekwa chini kuanzia Alhamisi kwa muda wa masaa 72// Serikali ya Tanzania imesema kuwa haiwezi kujiunga katika mpango wa visa ya pamoja ya utalii iliyoanzishwa na nchi za Kenya, Uganda na Rwanda// Rais Uhuru Kenyatta amezilaumu taasisi zilizopewa mamlaka ya kupambana na ufisadi serikalini akisema zimeshindwa kutekeleza majukumu yake.

https://p.dw.com/p/2ROWO