Afghanistan: Mataifa ya kigeni yameendelea na zoezi la kuwaondoa wafanyakazi na raia wake baada ya kundi la Taliban kuchukua nchi/ Wanawake nchini Afghanistan wanahofia utawala wa Taliban utawarudisha nyuma katika maendeleo/ Amnesty International: Janga la Covid-19 limeweka wazi haja ya kushughulikia kwa haraka masuala muhimu ya muda mrefu yanayoukabili mfumo wa huduma za afya wa Somalia