1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

18.08.2020 Matangazo ya Asubuhi

TSA / S08S18 Agosti 2020

Ethiopia: Tume ya Haki za Binadamu imesema vyombo vya dola vimewakamata zaidi ya watu 9,000/ Human Rights Watch limezishutumu mamlaka nchini Misri kuendesha kampeni ya kuwaandama watumiaji mitandao wenye wafuasi wengi kwenye mitandao ya kijamii/ Kenya: Wafanyabiashara wa nguo kuukuu maarufu mitumba wanashusha pumzi baada ya serikali kuiondoa marufuku ya kuiagiza kutoka nje

https://p.dw.com/p/3h7FY