1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

18.08.2017 Matangazo ya jioni

SK2 / S02S18 Agosti 2017

Maafisa wa polisi nchini Uhispania wamesema kuwa bado hawajamtambua mshukiwa wa shambulizi la kigaidi// Wanasiasa wa upinzani wa muungano wa NASA nchini Kenya wanawasilisha malalamiko rasmi ya kuupinga ushindi wa Uhuru Kenyatta baada ya uchaguzi mkuu wa rais uliofanyika wiki iliyopita// Rais Paul Kagame wa Rwanda ameapishwa hii leo.

https://p.dw.com/p/2iTuP