UN: Hali inazidi kuwa mbaya Ukanda wa Gaza/ Tanzania: Masharikia ya kutetea haki za binaadamu yamelitaka jeshi la polisi kuja na taarifa za kutosha kutokana na mauaji ya mvulana mdogo mwenye ualbino/ Umoja wa Mataifa umeshtushwa na ripoti zinazosema Tanzania imewarudisha nyumbani kwa nguvu watu wanaokimbia machafuko katika nchi jirani ya Msumbiji/ Uhispania na Morocco zazozana kuhusu wahamiaji